Sunday, January 24, 2016

Magufuli atunisha msuli

AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais John Magufuli, amesema nchi ipo salama na hakuna mtu yeyote mwenye uwezo wala jeuri ya kuleta chokochoko.
Amesema Jeshi la Ulinzi (JWTZ) liko imara na linatekeleza majukumu yake ya kulinda mipaka ya nchi kwa uhakika na pia linashiriki kazi ya kulinda amani katika nchi zenye migogoro.
Rais Magufuli alitoa kauli hiyo jana, katika kambi ya Jeshi ya Mbuni iliyoko Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, wakati akizungumza na makamanda na wapiganaji wa kambi hiyo baada ya kuikagua  Soma zaidi tembelea http://mtanzania.co.tz/?p=9933

No comments:

Post a Comment

Ads 468x60px

Featured Posts