Pia ufisadi ni eneo kuu mojawapo linalopelekea shilingi kishuka thamani na automatically mfumuko Wa bei(maisha magumu)
Nini hatma au dawa ya haya yote?Ni lazima tuwe na kizazi kipya chenye
maadili,kitakachotunusuru na janga hili.Kama ni hivyo,wewe kama mzazi Wa
sasa au mtarajiwa unayasimamiaje maadili ya mtoto katika familia na
jamii inayotuzunguka.Ni kwanini unashiriki au kusupport madisco Toto na
matukio mbalimbali yanayoharibu maadili mazima ya watoto?Hivi
unajiskiaje unapozaa mtoto na mwishowe anaishia kua changudoa au shoga
hasa kuanzia vyuoni mahali ambapo kama hujamlea vizuri,kumpenda na
kumtahadharisha atajifunza kila aina ya uchafu?
Yesu anasema;ole wake yeye atakayeshiriki kuwaharibu watoto hawa...Ni kwanini umzalie shetani watoto?Si bora usingezaa kabisa!Ni wajibu wetu kujenga misingi ya taifa bora,takatifu litakalotokomeza anasa na uharibifu Wa kila namna.
Ni lini ulimbusu mwanao mara ya mwisho.Kama ni mambo ya kizungu ya kwako ya kinyaturu yako wapi?Ni lini ulimchukua mwanao ukamtabiria mafanikio na hata dua ya baraka kwa Mungu zaidi ya kumfananisha na shangazi au mjomba tena si ajabu ni mchawi una akili kweli!!!???.Ole wako(By Severe I.M.)
Yesu anasema;ole wake yeye atakayeshiriki kuwaharibu watoto hawa...Ni kwanini umzalie shetani watoto?Si bora usingezaa kabisa!Ni wajibu wetu kujenga misingi ya taifa bora,takatifu litakalotokomeza anasa na uharibifu Wa kila namna.
Ni lini ulimbusu mwanao mara ya mwisho.Kama ni mambo ya kizungu ya kwako ya kinyaturu yako wapi?Ni lini ulimchukua mwanao ukamtabiria mafanikio na hata dua ya baraka kwa Mungu zaidi ya kumfananisha na shangazi au mjomba tena si ajabu ni mchawi una akili kweli!!!???.Ole wako(By Severe I.M.)
No comments:
Post a Comment