Thursday, May 12, 2016

Billy Graham, Papa Francis, Oprah Winfrey ni miongoni mwa watu wanaokubalika zaidi duniani.



Utafiti wa hivi karibuni umebainisha kuwa Papa Francis, Billy Graham, Oprah Winfrey, and Queen Elizabeth II ni miongoni mwa watu maarufu wanaokubalika zaidi duniani.
Katika orodha hiyo iliyoandaliwa katika chapisho la YouGov’s la May 10,2016, wengine waliotajwa ni pamoja na Barack Obama, Xi Jinping, Jackie Chan, and Stephen Hawking followed closely after Bill Gates for men, while Queen Elizabeth II, Hillary Clinton, and Michelle Obama followed Jolie

No comments:

Post a Comment

Ads 468x60px

Featured Posts