Wednesday, January 2, 2019

SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA LATOA USHAURI KUHUSU VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA


Na Said Mwishehe,Globu ya jamii

SHIRIKA la Bima la Taifa Tanzania(NIC) limeshauri kwamba ufike wakati sasa kuwepo na sera ambayo itahimiza mashirika, taasisi na wadau mbalimbali kushiriki kwa vitendo katika mapambano dhidi ya vita ya dawa za kulevya nchini.

Ushauri huo umetolewa leo Desemba 28,2018 na Ofisa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania(NIC) Israel Severe wakati wa tamasha la Kataa Mihadarati liloandaliwa na Taasisi ya Binti Filamu chini ya Mwenyekiti wake muigzaji maarufu wa filamu Ndumbagwe Misayo a.k.a Thea .Mgeni rasmi kwenye tamasha hilo alikuwa Naibu Waziri Stella Ikupa.

"Shirika la Bima la Taifa Tanzania tumeamua kushiriki kwenye tamasha hilo kutokana na kutambua umuhimu wake kwa jamii.Tunajua moja ya jukumu letu ni kushughulika na mambo ya bima lakini kwetu ni muhimu zaidi kuona jamii tunayoihudumia inakuwa salama kiafya.Sote tunatambua athari za matumizi ya
dawa za kulevya, hivyo tumeamua kushiriki kikamilifu kwenye vita hii ili kukomesha dawa hizo nchini.

"Tunashauri ifike wakati kuwe na sera ambayo itazungumzia umuhimu wa mashirika na taasisi mbalimbali nazo kushiriki kwenye vita hii ya dawa za kulevya.Hivyo ni wakati muafaka kwa Serikali kuweka sera itakayokwa chachu kwa mashirika na taasisi zote kushiriki kwa vitendo na iwe ni wajibu wetu,"amesema
Severe.

Kuhusu tamasha hilo , Severe amesema anaupongeza uongozi wa Binti Filamu kwa uamuzi wake wa kuandaa tamasha hilo lenye lengo la kutoa elimu kuhusu madhara ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kushirikisha wadau mbalimbali wakiwamo wao ambao wamedhamiria kwa dhati kukomesha dawa hizo nchini kwetu.

"Tunawapongeza Binti Filamu kwa kuandaa tamasha hilo ambalo kwetu sisi tunaona ni mwanzo mpya kwa wasanii kuamua kushirikiana na wadau wengine kukomesha dawa za kulevya.Wanastahili kuendelea kuungwa mkono na sisi NIC tutaendelea kuwaunga mkono kadri watakavyokuwa wanaandaa matamasha haya ya kukataa mihadarati,"amesema Severe.

Kwa upande wa Naibu Waziri ,Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi ,Vijana,Ajira na Wenyeulemavu Stella Ikupa ametumia nafasi hiyo kuelezea jitihada zinazofanywa na Serikali kupambana na dawa za kulevya nchini na kwamba tatizo la dawa za kulevya, hivyo unapoona kuna jitihada za wadau lazima utoe pongezi.

"Tunawapongeza Binti Filamu kwa kuandaa tamasha hilo linalofahamika kwa jina la Kataa mihadarati.Athari za dawa za kulevya kwa namna moja au nyingine zinamgusa kila mtu kwenye jamii yetu.Serikali katika kuhakikisha inakomesha dawa za kulevya iliamua kuunda mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ambayo hakika imefanya kazi kubwa,"amefafanua Ikupa.

Ametoa ushauri kwa Binti Filamu kuhakikisha katika matamasha yanayokuja waende kwenye mikoa ambayo athari za matumizi ya dawa za kulevya ni kubwa na kwa kufanya hivyo watasaidia kuikoa jamii kupitia elimu ambayo wanaitoa kuhusu madhara yatokanayo na utumiaji wa dawa hizo.Kuhusu mapendekezo ambayo yametolewa na wadau mbalimbali kwenye tamasha hilo yakiwemo ya Serikali kutoa elimu kwa Watanzania kuhusu dawa za kulevya amesema ameyachukua na watayafanyia kazi kwani ni mambo yanayowezekana.

Akizungumzia tamasha hilo msanii wa muziki wa Bongo Fleva Haruna Kahena Inspekta Haroun amesema kitendo cha Binti Filamu kuandaa tamasha hilo ni wazi wameonesha dhamira njema ya kupambana na dawa za kulevya ambapo kwa sehemu kubwa wapo baadhi ya wasanii wamekuwa wakiyatumia.Wakati huo huo Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifamba ambaye pia ni Katibu wa Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam amesema umefika wakati wa kuunga mkono juhudi za Rais Dk.John Magufuli katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya.

Amesema kuna wasanii wengi wamekuwa wakijihusisha aidha kutumia dawa za kulevya au kugeuzwa makontena wa kubeba dawa hizo kwa maslahi ya wafanyabiashara lakini madhara yake ni makubwa, hivyo umefika wakati wa kukataa kuwa sehemu ya makontena na watumiaji wa dawa hizo.
 Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Stella Ikupa akimkabidhi cheti Bw. Israel Severe ambaye ni Ofisa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania(NIC) kutokana na mchango wa shirika hilo katika mapambano dhidi ya madawa ya kulevya wakati wa tamasha la (Kataa Mihadarati Festival) lililoandaliwa na tasisi ya Binti Filamu inayoundwa na wasanii wa filamu, tamashahilo limefanyika aktika viwanja vya Barafu Mburahati Foundation jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Stella Ikupa akimkabidhi cheti Kamishna wa Kitengo cha Tiba na Kinga kutoka Mamalaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Dk.Peter Mfisi kutokana na mchango Mamlaka hiyo katika mapambano dhidi ya madawa ya kulevya wakati wa tamasha la (Kataa Mihadarati Festival) lililoandaliwa na tasisi ya Binti Filamu Foundation inayoundwa na wasanii wa filamu, tamashahilo limefanyika aktika viwanja vya Barafu Mburahati jijini Dar es salaam.
Bw. Israel Severe ambaye ni Ofisa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania(NIC) akizungumza katika tamasha hilo lililofanyika kwenye viwanja vya Mburahati Barafu jijini Dar es salaam.
Kamishna wa Kitengo cha Tiba na Kinga kutoka Mamalaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Dk.Peter Mfisi akizungumza na wananchi waliohudhuria katika tamasha hilo.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Joyce Fisoo akizungumza na wananchi waliohudhuria katika tamasha hilo.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Stella Ikupa akihutubia wananchi waliofika katika tamasha hilo kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bi. Joyce Fisoo.
Baadhi ya wasanii wa filamu wakifurahia baadhi ya burudani zilizokuwa zikitolewa katika tamasha hilo.
Baadhi ya waalikwa wakiwa katika tamasha hilo.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Stella Ikup kushoto, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bi. Joyce Fisoo na Kamishna wa Kitengo cha Tiba na Kinga kutoka Mamalaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Dk.Peter Mfisi wakipunga mikono yao juu wakati msanii Inspector Haroun hayupo pichani alipokuwa akitumbuiza katika tamasha hilo.
Baadhi ya wasanii wa filamu wakiwa katika tamasha hilo


Thursday, July 13, 2017

Amazing Grace By John Newton in 1779



Most of us have heard the familiar words, “Amazing grace, how sweet the sound, that saved a wretch like me.” The author of the hymn was, by his own admission, a “wretch.”  He was a slave trader, a blasphemer, a rebel, an immoral man, a torturer, and as far from grace as anyone could ever be. As a boy, John was captivated by the adventure and risk of life on the high seas. When he was eleven, young John Newton launched into that exciting life of voyaging, sailing, and living his dream. But the dream turned out to be a nightmare. Later in life he wrote, “I sinned with a high hand, and I made it my study to tempt and seduce others.” Newton lived a hard life with hard consequences. God got his attention though. In 1748, Newton’s slave ship was nearly wrecked by an intense storm. In the tempest, surrounded by crashing waves, cutting winds, creaking timbers, and the cries of onboard slaves, John fell to his knees and pled for mercy, and for grace. God’s grace, which reaches anyone, anywhere, saved a wretch like John Newton. Newton wrote the song years later while serving as a pastor in Olney, England. During America’s Second Great Awakening, the song was paired with its familiar tune and was widely used in camp meetings and revival services. Today, its lyrics still inspire, encourage, and instruct people about the radical reality of God’s amazing grace.    
       http://www.sharefaith.com/blog/2013/08/top-10-popular-hymns-time-history/

Monday, January 30, 2017

Be a Sales Superstar -By: Brian Tracy



The starting point of great success in selling is for you to begin to think the way the top salespeople think. As it happens, each time you think the way a top salesperson thinks, you become more optimistic and creative. You feel happier and more effective. You experience more energy and determination. You make more calls and better presentations. You close more sales and you make more
money. Your whole life opens up for you like a summer sunrise when you learn and practice the qualities of top salespeople. Let's begin:

One: Commit to Excellence.
Make it a life-rule to give your best to whatever passes through your hands. Stamp it with your personal character. Let superiority be your trademark.” (Orison Swett Marden)
 Two: Act As If It Were Impossible To Fail.
Courage is resistance to fear, mastery of fear-not absence of fear.” (Mark Twain)
Three: Put Your Whole Heart Into Your Selling.
“You are never given a wish without also being given the power to make it come true.” (Richard Bach)
 Four: Position Yourself As a Real Professional.
“The self image is the key to human personality and human behavior. Change the self image and you change the personality and the behavior.” (Maxwell Maltz)
 Five: Prepare Thoroughly For Every Call.
If you employed study, thinking and planning time daily, you could develop and use the power that could change the course of your destiny.” (W. Clement Stone)
 Six: Dedicate Yourself to Continuous Learning.
You can learn anything you need to learn to achieve any goal you can set for yourself; there are no limits.” (Brian Tracy)
 Seven: Accept Complete Responsibility For Results.
Hold yourself responsible for a higher standard than anybody else expects of you.Never excuse yourself.” (Henry Ward Beecher)
 Eight: Become Brilliant On the Basics.
“The quality of a person’s life is determined more by their commitment to excellence than by any other factor, no matter what the external circumstances.” (Vince Lombardi)
 Nine: Build Long Term Relationships
“Fully 85% of the happiness and success you enjoy in life will be determined by the quality of your relationships with others” (Brian Tracy)
 Ten: Be A Financial Improvement Specialist
“A single idea – the sudden flash of an idea – may be worth a million dollars.”(Robert Collier)
 Eleven: Use Educational Selling with Every Customer.
“Nature understands no jesting. She is always true, always serious, always severe:she is always right, and the errors and faults are always those of man.” (Johann Wolfgang von Goethe)
 Twelve: Build Megacredibility With Every Prospect
“Honesty is the first chapter of the book of wisdom.” (Thomas Jefferson)
 Thirteen: Handle Objections Effectively
It’s the constant and determined effort that breaks down all resistance, sweeps away all obstacles.” (Claude Bristol)
 Fourteen: Deal With Price Professionally
“Men who accomplish great things in the industrial world are those who have faith in the money producing power of their ideas.” (Charles Fillmore)
 Fifteen: Know How To Close the Sale
“If you employed study, thinking and planning time daily, you could develop and use the power that could change the course of your destiny.” (W. Clement Stone)
 Sixteen: Make Every Minute Count
“Set priorities for your goals. A major part of successful living lies in the ability to put first things first. Indeed, the reason most major goals are not achieved is that we spend our time doing second things first.” (Robert J. McKain)
 Seventeen: Apply the 80/20 Rule to Everything
“Nothing can add more power to your life than concentrating all of your energies on a limited set of targets.” (Nido Qubein)
Eighteen: Keep Your Sales Funnel Full
“The power which resides in man is new in nature, and none but he knows what that is that he can do, nor does he know until he has tried.” (Ralph Waldo
 Nineteen: Set Clear Income and Sales Goals
“There is one quality that one must possess to win, and that is definiteness of purpose, the knowledge of what one wants and a burning desire to possess it.”(Napoleon Hill)
 Twenty – Manage Your Territory Well
“Our goals can only be reached through a vehicle of a plan, in which we must fervently believe, and upon which we must fervently act. There is no other route to success.” (Stephen A. Brennen)

By: Brian Tracy

Saturday, August 13, 2016

Home insurance

Home insurance covers you against the cost of repairing or rebuilding your home or replacing its contents.
If your home is damaged or destroyed, repair and rebuilding costs quickly mount up. Replacing your possessions can also be expensive; the average value of contents in a three-bedroom family home is estimated at £55,000. Without home insurance you would have to cover these costs yourself.
Home insurance covers you against damage caused by a variety of perils, such as:

Types of home insurance

Buildings insurance covers the structure of your home and any permanent fixtures and fittings such as fitted kitchen units and bathroom suites.
You should consider insuring your home against the cost of rebuilding it, not its sale price or current market value.
Contents insurance covers the cost of replacing or repairing your possessions if they are damaged, destroyed or stolen.
You can add additional cover to your basic buildings insurance policy to include extras such as accidental damage and legal expenses.
You can extend your contents insurance to protect your possessions when you take them outside your home.

Do you need home insurance?

If you are a mortgage holder
If you have a mortgage most providers will insist you take out buildings insurance as part of the conditions of your loan. You may also want to take out contents insurance to cover your possessions against damage or theft.

If you own your home outright
Even if you have already paid for your home you should still consider buildings insurance to protect you against the cost of repairs or rebuilding. You should also think about contents insurance to cover the cost of replacing your home’s contents.

If you are a tenant
If you live in rented property, buildings insurance is your landlord’s responsibility. But you may want to take out contents insurance to protect your possessions
. By ABI


LIFE COVER

Life cover is a term used to describe life insurance or death cover which can provide a cash lump sum in the event of your death, or if you become diagnosed with a critical illness. (You can include critical illness cover as part of your life cover or take it out as a separate policy).
By paying a monthly premium or a lump sum to your insurer for life cover, you can safeguard your loved ones from financial hardship if you die or suffer from one of a list of illnesses. The money can be put towards funeral costs, payment of a mortgage, debts, or your family’s living expenses.

Think about why you might need cover

  • what would happen if you died or were ill for a long time
  • who are your financial dependents: your husband or wife, children, brother, sister, or parents
  • what kind of financial support does your family have now
  • what kind financial support your family will need in the future
  • what kind of costs will need to be covered such as household bills, living expenses, mortgage payments, education costs, debts or loans, funeral costs
  • whether you can afford to pay regular premiums or a lump sum
  • what factors might affect your premiums – many life cover policies look at your age, occupation, lifestyle, pre-existing and family medical history
  • whether you would need to include critical illness cover because of your family medical history
If you have loved ones, such as children, a partner, or other relatives, who depend on your income to cover debts, bills, or living expenses, then it may be worth considering taking out life cover. It will help to provide some financial support to your family if you die.
However, you may already be covered by a group life scheme (often known as death in service benefit) through your employer. It is worth checking with your HR department to find out what it covers before considering taking out another policy.
Life cover is important if you are:
  • just married
  • a young couple just starting out
  • new parents raising a young family
  • a mature family starting to think about the future
  • a retiree who may survive their partner and need financial support
Some reasons for taking out life cover:
  • getting married
  • buying a house
  • starting a new job
  • applying for a mortgage or loan
  • the birth of a child  

Types of life cover

There are different types of policies which can give you lump sum payments, or a regular monthly income (if you have family income benefit). To decide on which cover you need, think about the questions and your reasons for choosing one of these policies.
  • term insurance
    gives you life cover during a pre-agreed period of time
  • group life cover
    gives you life cover through your employer
  • critical illness
    gives you cover for specific medical conditions
  • over-50 plans
    gives you cover towards funeral costs, paying debts or if you want to leave some money to loved ones if you die
  • whole of life plans (also known as life assurance)
    gives you cover for your entire life; it can meet your debts or be left to a loved one when you die.          By ABI

Business interruption insurance

Business interruption insurance covers you for loss of income during periods when you cannot carry out business as usual due to an unexpected event.
Business interruption insurance aims to put your business back in the same trading position it was in before the event occurred.
Most policies will cover business interruption as a result of:
  • damage caused to your premises or equipment by fire, storm or flooding
  • the breakdown of essential equipment
Some policies will also cover business interruption as a result of:
  • people not being able to get into your business premises
  • damage occurring at the premises of a supplier or customer
Specialist policies, which are sold separately, are available to insure your business’s computers against viruses, hackers and other cyber risks.

Making a claim

If you make a claim business interruption insurance will compensate you for:
  • any (pre-tax) shortfall in profits
  • any increased costs of running your business as a result of the event, for example any extra accountants’ fees you might have to pay

Buying business interruption insurance 

Business interruption insurance is often included in, or offered as an optional extra to, business insurance packages which combine a number of different policies under one premium. It can also be offered as an optional extra to buildings and contents insurance policies.By ABI 2014

Thursday, May 12, 2016

Women Entrepreneurs Are ‘More Ambitious and Successful’ Than Men

According to fortune.com/2016/02/29 on a recent survey of high and ultra-high net worth entrepreneurs

Successful women entrepreneurs are not only matching their male counterparts – in several ways, they’re outperforming them.
That’s according to the 2016 BNP Paribas Global Entrepreneur Report, for which Scorpio Partnership consultancy surveyed about 2,600 high and “ultra-high” net worth entrepreneurs from 18 countries.
The researchers found that almost 90% of women entrepreneurs expected their companies’ gross profits to increase or remain stable in the next year. More specifically, 61% expected profits to rise, compared to an average of 58% among all entrepreneurs.
“They are more ambitious and have been more successful than their male counterparts,” Sofia Merlo, co-CEO of BNP Paribas Wealth Management, says of the women entrepreneurs surveyed.
 
For more you can visit  http://fortune.com/2016/02/29/women-entrepreneurs-success/

Billy Graham, Papa Francis, Oprah Winfrey ni miongoni mwa watu wanaokubalika zaidi duniani.



Utafiti wa hivi karibuni umebainisha kuwa Papa Francis, Billy Graham, Oprah Winfrey, and Queen Elizabeth II ni miongoni mwa watu maarufu wanaokubalika zaidi duniani.
Katika orodha hiyo iliyoandaliwa katika chapisho la YouGov’s la May 10,2016, wengine waliotajwa ni pamoja na Barack Obama, Xi Jinping, Jackie Chan, and Stephen Hawking followed closely after Bill Gates for men, while Queen Elizabeth II, Hillary Clinton, and Michelle Obama followed Jolie

Ads 468x60px

Featured Posts