AJALI MBAYA MAENEO YA MSASANI DAR ES SALAAM
ajali
mbaya imetokea leo asubuhi maeneo ya msasani kwa warioba gari ya jeshi
imegongana uso kwa uso na daladala magari yote yameharibika vibaya na
madereva wameumia sana na pengine mmoja wao amefariki dunia niajali
yakusikitisha
No comments:
Post a Comment